Wangeci Mbogo – Apewe Sifa lyrics

mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba
mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu

Aliteseka kwa ajili yetu, Aliteseka kwa ajili yetu
Akatufia msalabani, Akatufia msalabani
Ili tupate wokovu kwake, Ili tupate wokovu kwake
Tuwe na ushindi kwa jina lake, Tuwe na ushindi kwa jina lake

Tumsifu, tumwabudu, tumwiuen, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu

You cannot copy content of this page