Miriam Makeba- Malaika Lyrics

Miriam Makeba- Malaika Lyrics

Lyrics to Malaika by Miriam Makeba

Malaika, nakupenda Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Ningekuoa mali we, ningekuoa dadaNashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa MalaikaPesa zasumbua roho yangu
Pesa zasumbua roho yangu
Nami nifanyeje, kijana mwenzioNashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika

Kidege, hukuwaza kidege
Kidege, hukuwaza kidege
Ningekuoa mali we, ningekuoa dada

Nashindwa na mali sina
We Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina
We Ningekuoa Malaika

Malaika, nakupenda Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Ningekuoa mali we, ngekuoa dada

Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika

Tagged

You cannot copy content of this page