Marioo ft. Sho Madjozi – Mama Amina Lyrics

Marioo ft. Sho Madjozi – Mama Amina Lyrics

Shii, Shii

Wangu moyo unauminya
Ma Amina wee, unauminya
Wangu moyo unauminya
Ma Amina wee, unauminya

Ah mama Amina
Mama Amina wee, shii

Chomeka aah, chomoa aah
Mwenzako nawashwa shwa
Chomeka aah, chomoa aah
Mwenzako nawashwa shwa

Vile kanakatikati patam
Eeh patam
Mechi zile zimepasi pasi na utam
Eeh na utam

Wangu moyo unauminya
Ma Amina wee, unauminya
Wangu moyo unauminya
Ma Amina wee, unauminya

Ah mama Amina
Mama Amina wee

Kama ona sisi yoh ba yo
Tena sisi oh my oh
Kama tunazidi more by more
Itabidi 4 by 4

Kama ona sisi yoh ba yo
Tena sisi oh my oh
Kama tunazidi more by more
Itabidi 4 by 4

Wangu moyo unauminya
Ma Amina wee, unauminya
Wangu moyo unauminya
Ma Amina wee, unauminya

Ah mama Amina
Mama Amina wee

Wangu moyo unauminya
Ma Amina wee, unauminya
Wangu moyo unauminya
Ma Amina wee, unauminya

Ah mama Amina
Mama Amina wee

You cannot copy content of this page