Lyrics: Mzansi Youth Choir – Baba Yetu Lyrics

Lyrics: Mzansi Youth Choir – Baba Yetu Lyrics

Baba Yetu Lyrics by Mzansi Youth Choir

Baba yetu, yetu uliye
Mbinguni yetu, yetu amina!
Baba yetu yetu uliye

M’jina lako e litukuzwe.

Baba yetu, yetu uliye
Mbinguni yetu, yetu amina!
Baba yetu yetu uliye
M’jina lako e litukuzwe.

Utupe leo chakula chetu
Tunachohitaji, utusamehe
Makosa yetu, hey!
Kama nasi tunavyowasamehe
Waliotukosea usitutie
Katika majaribu, lakini
Utuokoe, na yule, muovu e milele!

Baba yetu, yetu uliye
Mbinguni yetu, yetu amina!
Baba yetu yetu uliye
M’jina lako e litukuzwe.

Ufalme wako ufike utakalo
Lifanyike duniani kama mbinguni.
Aminaaaaaa.

Baba yetu, yetu uliye
Mbinguni yetu, yetu amina!
Baba yetu yetu uliye
M’jina lako e litukuzwe

Baba yetu, yetu uliye
Mbinguni yetu, yetu amina!
Baba yetu yetu uliye
M’jina lako e litukuzwe.

Utupe leo chakula chetu
Tunachohitaji, utusamehe
Makosa yetu, hey!
Kama nasi tunavyowasamehe
Waliotukosea usitutie
Katika majaribu, lakini
Utuokoe, na yule, muovu e milele!

Baba yetu, yetu uliye
M’jina lako e litukuzwe.

Baba yetu, yetu uliye
M’jina lako e litukuzwe.

You cannot copy content of this page