Esther Wahome – Minyororo lyrics

Miguu na mikono umefungwa, Mawazo yako yamefungwa
Macho umefungwa hauoni,Roho yako pia imefungwa
Yesu ana ufunguo, usife moyo

Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo
Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo

Njaa na kiu kwenye jela, Mateso mengi ya kutisha
Wewe mtupu hauna kitu,Magonjwa pia yamekusonga
Yesu ana ufunguo wa huo jela

Mpango wa shetani kwenya jela,Ni kuiba tena na kuharibu
Mshahara wake yeye ni mauti, Kubali Yesu yeye akuweke huru
Akutoe jela ya shetani

Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo
Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo

Wazee tokeni hiyo jela, wamama tokeni hiyo jela
Vijana tokeni hiyo jela, watoto tokeni hiyo jela
Jela ya hukumu, jela ya mauti

Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo
Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo

You cannot copy content of this page