Voices – Najivunia (I’m Proud) A Cappella Lyrics

Najivunia, Yesu wangu (I’m proud of my Jesus)
Amenipa uwezo (He has enabled me)

Najivunia Yesu (I pride myself in Jesus)
Mwenye kunipa uwezo (the one who enables me)
(Repeat)

Najivunia Yesu Mwenye kunipa uwezo (I pride myself in Jesus who enables me)
Chini za mbawa zake, Tufani ijapo vuma (Under His wings; though the storm rages,)
Ndiwe nikiwa kweli, Ajuaye shida zangu (He is my comforter, He knows my troubes)
Najivunia Yesu wangu (I pride myself in my Jesus)

Refrain:
Wakati wa zamani sikutambua (A long time ago I didn’t know)
Kwa sababu nilikuwa gizani (Because I was in darkness)
Leo nina sababu ya kutambua (But today because of knowledge)
Amenipa uwezo, Baba (I know I am enabled by my Father)

Wakati wa zamani nilikuwa… (A long time ago I was…)
Yesu wangu akaniita kwa sauti ya upole (My Jesus called me with a soft voice)
Akanipa amani, tumaini, na uzima (He gave me peace, hope and life)
Najivunia Yesu mwenye kunipa uwezo (So now I pride myself in Jesus my Hope)

(Refrain)

Wakati wa zamani (A long time ago)
nilikuwa kwenye giza (I was in darkness)
Yesu akaniita (Jesus called me)
Kwa sauti ya upole (In a soft voice)
Yesu akanitoa kwenye giza (Jesus picked me out of the darkness)
Yesu wangu, amenipa uwezo (My Jesus, He enables me)

You cannot copy content of this page