Rose Muhando – Nyota ya Ajabu lyrics

Verse 1:
ILe nyota ya ajabu, yaonekana mashariki
Imejaa ishara zote, za kuzaliwa mfalme
Mamajuzi wako nyuma, kuifuata nyota ile
walifika Yerusalemu, nao wakauliza (repeat)
Yuko wapi yeye aliyezaliwa,
mtawala wa wayahaudi ili tumsujudie

Chorus:
Mjini mwa Daudi, amezaliwa mkombozi
Atakayewaokoa watu na dhambi zao
Dunia shangilieni, amezaliwa messiah
Haleluya haleluyah, sifa ni kwa Bwana

Verse 2:

Walikuwako na wachungaji, waliokaa makondeni
Wakilinda kundi lao kwa zamu usiku
Malaika kawatokea, kawambia msiogope
Maana leo katika Yuda, amezaliwa messiah

(Chorus)

Verse 3:
Walipokwisha kusema haya, Malaika wa bwana
Waliimba wimbo ule, wimbo usio na mwisho
Utukufu juu kwa Mungu mbinguni
Duniani we amani kwa aliowaridhia

(chorus)

Verse 4:
Maongeo enzi yake, na tena begani mwake
Tazameni anakuja kwa jina lake Bwana
Maongeo enzi yake, na tena begani mwake
Tazameni anakuja kwa jina lake Bwana

(chorus)

You cannot copy content of this page