Longombas –  Vuta Pumz Lyrics

Longombas – Vuta Pumz Lyrics

Chorus
Hee-haa, vuta pumz
We vuta pumz
Longombas wanafanya mambo (vuta pumz)
Longombas wanatetemesha (vuta pumz)

Verse 1
Jamani nisikilizeni, mnisikilize
Jamani nisikilizeni, mnisikilize
Kuna wanawake warembo
Wenye marasa, na mapaja, na weupe
Na ni wazuri kinyama
Jamani nisikilizeni, mnisikilize
Jamani nisikilizeni, mnisikilize
Kuna wanaume wengi
Wenye vifua, na warefu, na wenye nguvu
Na ni wazuri kinyama
Lakini tujichunge
Pengine wanao mdudu
Wanatuacha, wana-go
Wanatuacha, wana-go

Chorus
Hee-haa, vuta pumz
We vuta pumz
Hee-haa, vuta pumz
We vuta pumz

Usimwone amejaza nyuma, ukadhani ako poa
Usimwone amerembeka, ukadhani umefika
Usimwone ana pesa, ukadhani umefika
Pengine anatuacha, kesho anachora
Usimwone amejaza nyuma, ukadhani ako poa
Usimwone amerembeka, ukadhani umefika
Usimwone ana pesa, ukadhani umefika
Pengine anatuacha, kesho anachora

Verse 2
Na kama unayo, si mwisho ya maisha
Ni ugonjwa tu kama malaria
Meza dawa, piga tizi, kula vizuri, utaishi fiti
Maisha utayasukuma
Maisha utayasukuma

Na mijinga usiyojua kujichinga
Kila shimo unaona unadunga
Hebu jichunge kijana utakuja kufa tukuzike Lang’ata
Paja asione tu, huyo ashainua
Kifua kisipite tu, huyo ashajigonga
Tako lisipite tu, mate yashamtoka
Tako lisipite tu, mate yashamtoka

Chorus
Hee-haa, vuta pumz
We vuta pumz
Hee-haa, vuta pumz
We vuta pumz

Ayi nenene …

Usimwone amejaza nyuma, ukadhani ako poa
Usimwone amerembeka, ukadhani umefika
Usimwone ana pesa, ukadhani umefika
Pengine anatuacha, kesho anachora
kesho anachora

You cannot copy content of this page