Kambua – Umetenda mema Lyrics


VERSE 1 LYRICS:

Nakushukuru Wewe, nakutukuza Wewe
Umenitendea mambo ya ajabu
mimi niseme je, ili nikushukuru
nasema Ewe Mwungu Umenitendea

CHORUS LYRICS:

Umetenda mema, Umetenda mema
Umetenda mema, ndio maana naimba
Umetenda mema, Umetenda mema
Umetenda mema, ndio maana naimba

VERSE 2 LYRICS:

Wimbo wa moyo wangu na nafsi yangu yote
yasema Ewe Mungu Umenitendea
Maisha  yangu yote nakutolea Wewe
kwa maana Ewe Baba, Umenitendea

CHORUS LYRICS:

Umetenda mema, Umetenda mema
Umetenda mema, ndio maana naimba
Umetenda mema, Umetenda mema
Umetenda mema, ndio maana naimba

Umetenda mema, Umetenda mema
Umetenda mema, ndio maana naimba
Umetenda mema, Umetenda mema
Umetenda mema, ndio maana naimba
Ewe Yesu wangu

Umetenda mema, Umetenda mema
Umetenda mema, ndio maana naimba
Umetenda mema, Umetenda mema
Umetenda mema, ndio maana naimba

Umetenda mema, Umetenda mema
Umetenda mema, ndio maana naimba
Umetenda mema, Umetenda mema
Umetenda mema, ndio maana naimba

You cannot copy content of this page