Jimmy Gait – Huratiti Lyrics


Chorus
Kila siku tunapaa juu-juu juu
Tukiwa na favor tunapaajuu
juu
Tunapaa juu-oweo
Tunapaa juu-oweo
Tunaenda-Huratiti,
Tunaenda-Huratiti
Tunaenda-Huratiti,
Tunaenda-Huratiti

Verse 1
Ilikuwa ni juzi tu, nilikuwa naomba fare,
Ilikuwa ni juzi tu, nilikuwa nalala njaa
Ilikuwa ni juzi tu, nikafukuzwa kwa nyumba,
Nikarudi mashambani, kuishi na wazazi wangu,,
Kumbe hiyo setback, ikawa ni my comeback,
Mungu wangu amenikumbukaa,
Kweli Mungu amenikumbukaa,
Wanaonipenda-a ninawaombeaa,
ya kwamba Mungu-uu
atawakumbukaa,
ya kwamba Mungu-uu
atawakumbukaa,
Kuteseka ni kwa muda, Kuteseka
ni kwa muda,
Kuteseka ni kwa muda, Kuteseka
ni kwa muda,
Eeh eh eeh eh eh- Huratiti!

Chorus
Kila siku tunapaa juu-juu juu
Tukiwa na favor tunapaajuu
juu
Tunapaa juu-oweo
Tunapaa juu-oweo
Tunaenda-Huratiti,
Tunaenda-Huratiti
Tunaenda-Huratiti,
Tunaenda-Huratiti

Verse 2
Wacha nikukumbushe,
unapoenda chini,
Mungu haendi chini Mungu
haendi chini
Wacha nikukumbushe, unapokosa
pesa,
Mungu hakosi pesa, Mungu hakosi
pesa,
Wacha nikukumbushe,
unapokuwa mgonjwa,
Mungu hana magonjwa, Mungu
hana magonjwa,
Kwa hivyo wacha stess Mungu
atakubless
Kwa hivyo wacha stess Mungu
atakubless
Kuteseka ni kwa muda, Kuteseka
ni kwa muda,
Kuteseka ni kwa muda, Kuteseka
ni kwa muda,
Eeh eh eeh eh eh- Huratiti!

Chorus


Kila siku tunapaa juu-juu juu
Tukiwa na favor tunapaajuu
juu
Tunapaa juu-oweo
Tunapaa juu-oweo
Tunaenda-Huratiti,
Tunaenda-Huratiti
Tunaenda-Huratiti,
Tunaenda-Huratiti

Verse 3
Mi naona kwa favor ya Mungu
utapata kazi- Amen!
Mi naona kwa favor ya Mungu
utapata nyumba-Amen!
Mi naona kwa favor ya Mungu
utapata gari-Amen!
Mi naona kwa favor ya Mungu
utapata bibi-Amen!
Mi naona kwa favor ya Mungu
utapata bwana-Amen
Mi naona kwa favor ya Mungu
utapata visa-Amen
Pokea Pokea Pokea Pokea Pokea
Pokea Pokea Pokea

Chorus
Kila siku tunapaa juu-juu juu
Tukiwa na favor tunapaajuu
juu
Tunapaa juu-oweo
Tunapaa juu-oweo
Tunaenda-Huratiti,
Tunaenda-Huratiti
Tunaenda-Huratiti,
Tunaenda-Huratiti

You cannot copy content of this page