Jaguar – Nikuskize Lyrics


Intro


siku nyingi zimepita bado
mi na wee
twapendana

Chorus

wee ni kama my sweet mama
ni kama
wimbo nayopenda
kila siku nikucheze
kila siku nikuskize
nikuskize
kila siku nikuskize
nikuskize

Verse 1

funga macho nikupe
zawadi
ya maisha
pete 
nikuvalishe
milele
uwe wangu
kila siku nikuone
asubuhi uamkapo
ni wee wa kwanza kukuona

Chorus

wee ni kama my sweet mama
ni kama
wimbo nayopenda
kila siku nikucheze
kila siku nikuskize
nikuskize
kila siku nikuskize
nikuskize

Verse 2

ona
wamekubali
mimi na wewe twafaana
kokote tuendako
wote wanakubali
nami 
nimekuchorea
watoto unipe
mama mzazi unipe
baba mzazi unipe
unipe

Chorus

wee ni kama my sweet mama
ni kama
wimbo nayopenda
kila siku nikucheze
kila siku nikuskize
wee ni kama my sweet mama
ni kama
wimbo nayopenda
kila siku nikucheze
kila siku nikuskize
nikuskize
kila siku nikuskize
nikuskize

Verse 3


siku nyingi zimepita bado
mi na wee
twapendana
siku nyingi zimepita bado
si
twapendana
siku nyingi zimepita bado
si
twapendana
siku nyingi zimepita bado
si
twapendana

Chorus

wee ni kama my sweet mama
ni kama
wimbo nayopenda
kila siku nikucheze
kila siku nikuskize
wee ni kama my sweet mama
ni kama
wimbo nayopenda
kila siku nikucheze
kila siku nikuskize
wee ni kama my sweet mama
ni kama
wimbo nayopenda
kila siku nikucheze
kila siku nikuskize
nikuskize
kila siku nikuskize
nikuskize

You cannot copy content of this page