Gospel fathers – Tukisema Gospel Lyrics

Gospel fathers – Tukisema Gospel Lyrics

Verse 1
Tukisema Gospel mnawika, kwani mkiwika Christ atashuka,
Christ ni bariki, kwani tumefika, tunefika hapa ku kuwakilisha,
Maintain hapo, nawe hutapitwa,
Nikiroga blessings nawapatia, naye Christ kutoka juu anawashika,
Akiwashika nanyi  basi mnawika,
Ameshika, basi ebu wika, tuta eneza gospel toka Afrika Masharika, mpaka Amerika,
Australia mpaka kule Asia,
Upanga wangu, round hii ni bibilia, sibabaiki muovu anapokuja, kwani nina jua mimi sitashindwa,

Tafadhali wewe ebu wika, kabla madakika haya jakwisha,
Tutajisema kweli twa wapenda, ndiposa sisi sasa tunasema,
Tukisema Gospel munawika,

Chorus
Tukisema Gospel munawika, (woo)
Tukisema Gospel munawika,(woo)
Tukisema Gospel munawika, (woo)
Munawika,munawika, muanawika!

Tukisema Gospel munawika, (woo)
Tukisema Gospel munawika,(woo)
Tukisema Gospel munawika, (woo)
Munawika,munawika, muanawika

Verse 2
Hatujawaka, hatuja aga, kuna bamba, kuko sawa,
Vitu sawa, vitu manga, ziko ka bamba,
Hivi sasa, tuta anza kuwapa vitu sawa,
Hapana mbaya, acheni shaka, acheni pangaa, acheni ufala,
Yesu hapa, Yesu hapa, Yesu mwanzo, Ngai fa fa,
Yeye jana, yeye kijana, yeye ni bwana, vitu zate hafanya,
Yuko hapa, sita walapa, sita waacha,
Yesu naye ana wa waza, ana wasaka bila shaka Yesu awataka, Ndio.
(o- o –o –o) (o-o-o)

Chorus
Tukisema Gospel munawika, (woo)
Tukisema Gospel munawika,(woo)
Tukisema Gospel munawika, (woo)
Munawika,munawika, muanawika!

Tukisema Gospel munawika, (woo)
Tukisema Gospel munawika,(woo)
Tukisema Gospel munawika, (woo)
Munawika,munawika, muanawika!

Verse 3
Tukisema Gospel munawika, tuko poa tumefika tuko ready,
Watu wake Mungu, pia wamefika, bila stress hizo zote wameacha home,
We sikiza hizi raymu vile zina flow,
Ryms zake God tunaleta bila stress,
wala tuna jenve kama snow kwenye hive,
yunaleta love ka king Solomon, ambapo tume praise God kila day,
mimi nina hope kama Jeremiah, nina fwata the way God alisay,
word yake God nina wakilisha, from the  knee to the real, real, real

Chorus (TILL FADE)
Tukisema Gospel munawika, (woo)
Tukisema Gospel munawika,(woo)
Tukisema Gospel munawika, (woo)
Munawika,munawika, muanawika!

Tukisema Gospel munawika, (woo)
Tukisema Gospel munawika,(woo)
Tukisema Gospel munawika, (woo)
Munawika,munawika, muanawika!

You cannot copy content of this page