Florence Mureithi – Omba Lyrics

VERSE 1 LYRICS:

Jethsamane Yesu Aliomba, Baba mapenzi Yako yatimizwe
Uokoaji yako na yangu kampa nguvu Akashinda
Jethsamane Yesu Aliomba, Baba mapenzi Yako yatimizwe
Uokoaji yako na yangu kampa nguvu Akashinda

CHORUS LYRICS:

Nawe omba, omba, utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi
Dada omba, omba, utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi
Ndugu omba, omba utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi

VERSE 2 LYRICS:

Mtafute Bwana Apatikanapo, Umuite sasa Yukaribu
Asema bwana unapomuita, hakika atakusikia
Mtafute Bwana Apatikanapo, Umuite sasa Yukaribu
Asema bwana unapomuita, hakika atakusikia

CHORUS LYRICS:

Nawe omba, omba, utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi
Ndugu omba, omba, utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi
Dada omba, omba utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi

VERSE 3 LYRICS:

Omba usije ukaingia majaribuni eh ndugu
Usimame mkamilifu mbele za Bwana daima
Omba usije ukaingia majaribuni eh ndugu
Usimame mkamilifu mbele za Bwana daima

CHORUS LYRICS:

Nawe omba, omba, utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi
Dada omba, omba, utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi
Ndugu omba, omba utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi

Tuombe, omba, omba, utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi
Wakenya, omba, omba, utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi
Tuombe tuombe, omba, omba, utafute Uso wa Bwana
Aonaye kwa siri, atakujibu kwa wazi

You cannot copy content of this page