Florence Mureithi – Aliyeshinda Mauti Lyrics

Chorus
Aliyeshinda mauti, ali shinda kifo,
Aliyeshinda  mauti, ali shinda kifo,
Anatawala Yesu, mbingu, inchi na wafalme,
Anatawala Yesu, mbingu, inchi na wafalme.
Mwenye mamlaka,
Aliyeshinda mauti, ali shinda kifo,
Aliyeshinda  mauti, ali shinda kifo,
Anatawala Yesu, mbingu, inchi na wafalme,
Anatawala Yesu, mbingu, inchi na wafalme.
Mwenye mamlaka,

Verse 1
Yesu alipo kufa alizichukua funguo za kifo na kuzimu ,
Alikufanya mshindi,
Yesu alipo kufa alizichukua funguo za kifo na kuzimu ,
Alikufanya mshindi,
Yesu ni mshindi,Yesu ni mshindi,

Chorus
Aliyeshinda mauti, ali shinda kifo,
Aliyeshinda  mauti, ali shinda kifo,
Anatawala Yesu, mbingu, inchi na wafalme,
Anatawala Yesu, mbingu, inchi na wafalme.
Mwenye mamlaka,

Verse 2
Mwamba wa milele usio tingisika,
wateule wamkimbilia hawaibiki kamwe,
Mwamba wa milele usio tingisika,
Wateule wamkimbilia hawaibiki kamwe,
Yesu ni mshindi,Yesu ni mshindi,

Chorus
Aliyeshinda mauti, ali shinda kifo,
Aliyeshinda  mauti, ali shinda kifo,
Anatawala Yesu, mbingu, inchi na wafalme,
Anatawala Yesu, mbingu, inchi na wafalme.
Mwenye mamlaka,

Verse 3
Mwamba wa milele usio tingisika,
wateule wamkimbilia hawaibiki kamwe,
Mwamba wa milele usio tingisika,
Wateule wamkimbilia hawaibiki kamwe,
Yesu ni mshindi,Yesu ni mshindi,

Chorus
Aliyeshinda mauti, ali shinda kifo,
Aliyeshinda  mauti, ali shinda kifo,
Anatawala Yesu, mbingu, inchi na wafalme,
Anatawala Yesu, mbingu, inchi na wafalme.
Mwenye mamlaka,

Tawala, tawala,Yesu,
Tawala, tawala,Yesu,
Tawala, tawala,Yesu,
Tawala, tawala,Yesu,

You cannot copy content of this page