Fadhili Williams – Malaika Lyrics

Malaika, nakupenda malaika
Malaika, nakupenda malaika 
Nami nifanyeje, kijana Mwenzio
nashindwa na mali sina we, ningekuoa malaika 
nashindwa na mali sina we, ningekuoa malaika 

kidege, hukuwaza kidege 
kidege, hukuwaza kidege
nami nifanyeje,kijana mwenzio
nashindwa na mali sina we, ningekuoa malaika 
nashindwa na mali sina we, ningekuoa malaika

pesa za sumbua roho yangu 
pesa za sumbua roho yangu
nami nifanyeje,kijana mwenzio
nashindwa na mali sina we, ningekuoa malaika 
nashindwa na mali sina we, ningekuoa malaika

Malaika, nakupenda malaika 
Malaika, nakupenda malaika
Nami nifanyeje, kijana Mwenzio
nashindwa na mali sina we, ningekuoa malaika 
nashindwa na mali sina we, ningekuoa malaika

You cannot copy content of this page