Esther Wahome – Hachagui Lyrics

Chorus
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda

Verse 1
Nilisikia kuna mpenzi ambaye hachagui
wote awapenda, wote awajali
Nilimpa maisha yangu nayo yakawa sawa
Ni mwanaume wa wanaume, hachagui hachagui

Chorus
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda

Verse 2
Nilianza safari kwa mataifa mbalimbali
Ili nitangaze yesu na matendo yake
Wamekubali wamesema yesu ni namba moja
Ni mwanaume wa wanaume, hachagui hachagui

Chorus
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda

Verse 3
Natangazia wazee pia na vijana
Kwani huyu mpenzi, hachagui miaka
Hata watoto anasema, wote waje kwake
Ni mwanaume wa wanaume, hachagui hachagui

Chorus
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda

Verse 4
Nampenda huyu mpenzi aliyenipenda mbele
Tena alijitoa afe kwa ajili yangu
Damu yake alimwaga ili nisipotee
Ni mwanaume wa wanaume, 

Chorus
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda

Verse 5
Natangaza hachagui, huyu yesu awapenda eh oh
Awapenda wote, huyu yesu
Awajali wote, haleluyah
Awajali wote

Chorus
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda

You cannot copy content of this page