Esther Wahome – Daktari lyrics

Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

Nimeskia sifa zako daktari,Vile Sara na Hana uliwapa wana
Ukimgusa tasa anapata mapacha, Oh Daktrari, oh Daktari
Oh daktari, daktari touch me!

Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

Kuna vile unaelewa unyonge wangu, au uchungu wangu na haja zangu
Hata na akili zangu dhamiri yangu, Tafadhali daktari
Oh daktari,Eh daktari, daktari touch me!

Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

Wazee wamama na vijana wapime oh, hata watoto pia uwapime baba
Ukipata magonjwa, uwatibu daddy, moyo mwili na moyo wewe ni daktari
Eh Daktari, daktari, oh daktari, daktari

Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

You cannot copy content of this page