Emmachichi – Siona Haya Lyrics

Mashida yangu kubwa, kwake ni karara,
Mti wake si ka gara, ni meloi gara,

Msalaba ndio asili ya mema, nita tua mzigo hapo,
Nina uzima, furaha daima,
Jooni tufurahini papo,

Kama kiti chake vivyo ni yake ahadi,
Alivyo we, kewa anavyo, kamwe havi rudi,

Msalaba ndio asili ya mema, nita tua mzigo hapo,
Nina uzima, furaha daima,
Jooni tufurahini papo,

Bwana wangu, tena bwana, ndilo lake jina,
Ata acha roho yangu, wala kunikana

Msalaba ndio asili ya mema, nita tua mzigo hapo,
Nina uzima, furaha daima,
Jooni tufurahini papo,

Hata akili yangu jina, mbele za baba e,
Ha ni beba, ali tenda, mbinguni nikae,

Msalaba ndio asili ya mema, nita tua mzigo hapo,
Nina uzima, furaha daima,
Jooni tufurahini papo,

Sio nia ya kwa bwana, kwake ni karaha,
Mti wake, sita kana, ni neon karara,

Msalaba ndio asili ya mema, nita tua mzigo hapo,
Nina uzima, furaha daima,
Jooni tufurahini papo,

Msalaba ndio asili ya mema, nita tua mzigo hapo,
Nina uzima, furaha daima,
Jooni tufurahini papo,

Msalaba ndio asili ya mema, nita tua mzigo hapo,
Nina uzima, furaha daima,
Jooni tufurahini papo,

You cannot copy content of this page