Emily Kanchori – Kama Sio Wewe Lyrics

Chorus
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
 
Verse 1
ulinijua toka tumboni mwa mama yangu
mkono wako mkuu ukawa juu yangu
ukanipenda hata pasipokukutambua
ukanitoa mautini ukanifanya wako
 
ulinijua toka tumboni mwa mama yangu
mkono wako mkuu ukawa juu yangu
ukanipenda hata pasipokukutambua
ukanitoa mautini ukanifanya wako
 
Chorus
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
 
Verse 2
safari pamoja nawe sio mteremko
milima mabonde umenikomboa Yesu
uliahidi kutoniacha pekee yangu
nashuhudia uaminifu wako kwangu
 
safari pamoja nawe sio mteremko
milima mabonde umenikomboa Yesu
uliahidi kutoniacha pekee yangu
nashuhudia uaminifu wako kwangu
 
Chorus
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
 
Verse 3
safarini Baba nimekuita ukaitika
safarini Baba machozi mengi umeyafuta
nimejua Mungu ajibuye maombi
nimepata rafiki asiyebadilika
 
safarini Baba nimekuita ukaitika
safarini Baba machozi mengi umeyafuta
nimejua Mungu ajibuye maombi
nimepata rafiki asiyebadilika
 
Chorus
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu

You cannot copy content of this page