DNA, Big Pin, Jimwat, Bishop, DNG, Prezzo, Kaya – Banjuka Remix Lyrics

Intro
Remix!
Banjuka reloaded!
jomino tunaba-ba-ba-banjuka tu
tuna-ba-ba… remix!
wanauliza kwani remix inatoka siku gani
ba-ba-ba-banjuka tu
wanauliza kwani remix inatoka siku gani
DNA, Kaya, Bishop, Jimwat
wanauliza kwani remix inatoka siku gani
ba-ba-ba-banjuka tu
wanauliza kwani remix inatoka siku gani
DNG, Big Pin, Prezzo

Verse 1(Kaya)
mi niko tayari ku-ba-ba
kujibamba vi-nasty
na kuchanganya msichana kiasi
nimguse pale nimwulize anaskiaje
leo hatukukutana niaje
ni shikamoo, 
marahaba
nikimshika more ni mara haba
tukianza kazi
mi na ye ni kinyume
anageuka maji mi nageuka chuma
ni ka magic nashtuka tu
dame anafanya thao zinageuka blu
ni machupa tu
za sambuka tu
mi nainuka juu
wakibanjuka juu
nacheki chupi dress ni ka kichungi
life ni fupi na mi sijifungi
nabeba take away asubuhi katatu mazee (ndani ya nyumba)
sijui nachaguaje
(DNG)
ni coca cola ka-fresh kananicheki tu
ananimesea na mimi natabasamu tu
DNG mi sina noma angalia tu
madame na tishio wamekaribia tu
story tu ustaarabu tu unaingiana tu
si unajua vile mi hufanya mzeiya wembe tu
na wazeiya wakishindwa watabanjuka tu
roho juu kichwa tu kula hepi yako tu
(Jimwat)
na-specialize na kufanya mamanzi waskie fiti
madame wenye hupenda kuskiza zetu mziki
wana-like
vile si hutumia pesa kwenye bar
inawafanya wawe generous kugawa
hatujakuja ndio tuwalipie mamanzi nyumba
swali ni, watakuja na sisi kwa nyumba
DNA, Kaya, Jimwat, Bishop
guaranteed collabo ukiskia utawika jo
mi naunda Calif
DNA na Weezy tuko gauge
mpaka DNA kwa mwili ime-rearrange
mazee sioni poa,
naskia funny
yule dame anakaa poa
anaitwa nani
naitwa Shiko
mi naomba mshiko
naona umebeba dishi, mi nimebeba kijiko
si tusosi
na lights zako pozi
venye unaba-ba-ba-banjuka tu

(DNG)
ki-ki-ki-kila mtu
ba-ba-ba-banjuka tu
ki-ki-ki-kila mtu
ba-ba-ba-banjuka tu

ki-ki-ki-kila mtu
ba-ba-ba-banjuka tu
ki-ki-ki-kila mtu
ba-ba-ba-banjuka tu

(Big Pin)
bado mi nakam tu na chupa yangu ya malibu
shida nimeweka chini mikono iko juu
nina ba-ba-ba-banjuka tu
ndani ya track ya jomino ninawakilisha tu
ka kawaida si unajuanga vile mi hu-do
nachanganisha madame alafu nawa…
nakwachu pointie mpaka ana-turn blue
bad man Big Pin si mi ni mwajabu
(DNA)
ndani ya mdundo supuu na steam
all eyes on me dame yangu supuu wazim na
wanani-feel juu nakuwanga on point man
Mr. DNA future ex-boyfriend
shida chini, mikono ziko juu
na enyewe leo ni lazima tu-do
si uchangamke mbona umekunja sura
tumekam hepi hii ni party sio funeral
lakini chunga ukinibo itabaki
D ame-transform kakuwa Lucy Kibaki
ushikwe vibare, maboy wako huku
niondokee kabisa
mavi ya kuku
back to masupuu
ngoma na maye
juu ya track na-feel good
noma si usare
na juu ngoma ni kali
tupa mikono juu
na ukiweza pia miguu
na akisleki mshike…
(Prezzo)
yeah, 
Prezzo, I’m still heavy up in this game
bado nawakilisha
jomino of course
on your mark, get set
kuwa tayari ku-go
usiwe na wasi juu mko na mi Prezzo
kama mnani-feel tuta-party for sure
na kama hauni-feel feel free hit the door
nimekam, kula hepi
kama DNA ntabanjuka kiasi na
ku___ madame na ma-miniskirt
at the end of the night kitandani ni sarakas
CMB ndani ya nyumba in other words nimetua
nye mnajua mi nakamua kamua
makamuzi ya hali ya juu
it doesn’t matter what you do,
just do what you do like me
I do what I do like I’m doing it for TV
wengi wamejaribu but they can’t test me
na kunifikia mimi ni unlikely
mi ni younger version of Raman Plosi
madame wananipenda ladies adore me
ma-G wananiita mi generali
shida kubanjuka siridhikangi
I guess it’s just not me so
(DNA)
ruka tu 
ba-banjuka juu
life ni fupi nami sijifungi
naweka shida chini natupa mikono juu
ba-ba-ba-banjuka tu
ba-ba-ba-banjuka tu
ba-ba-ba-banjuka tu
naweka shida chini natupa mikono juu
ba-ba-ba-banjuka tu

You cannot copy content of this page