Diamond – Moyo wangu Lyrics


CHORUS LYRICS:
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa

VERSE 1 LYRICS:
Upole wangu simanzi eeehee, kwa kukupenda maradhi eeehee
lakini kupendwaga mi naye bahati huaga sina
jichoni kwangu kibanzi eeehee, tena nampenda kamanzi
licha ya kumthamini kama shilingi tatizo hata raha sina
ufinyu wa mboni zangu unatazama mengi aliyonipa mateso
tena hata kupenda sina raha, ona nakonda kwa mawazo
masikini penzi langu Gina nilishakata na kauli roho inatoka kesho
kutwa nzima mara eeeee mara iiiii hata najuta kupendaaa

CHORUS LYRICS:
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeyeee
moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeyeee
moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa

VERSE 2 LYRICS:
mmmmhh tena, kutwa kucha mara ooohhh
huwezi kosa maneno, ili mradi tu tara tantalila, mmmh sina raha
wala sina tena mipango, kutwa nzima na mawazo Gina
mmhhh aaaaaahh ooohh sina raha oo mama
tamu ya wali ni nazi eeeeee , raha ya supu maandazi eeeeeeee
raha yangu mi kupendwa tu naye lakini nyota sinaaa
na napata na radhi eeeeee, nawakufuru wazazi eeeeeee
kwa kung’ang’ana mi kutaka kuwa naye lakini bahati sinaaa
masikini roho ingalikuwa ni nguo ningempa avae japo akipita wamsifie
ila lakini ni kikwazo
masikini penzi langu Gina nilishakata na kauli roho inatoka
kesho kutwa nzima mara eeeee mara iiiii hata najuta kupendaaaa

CHORUS LYRICS:
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa

You cannot copy content of this page