Daudi Kabaka – Pole Musa Lyrics

Musa nimevumilia sana
Musa nimevumilia sana
kupigwa pigwa kama mimi punda
na sura yangu imeharibika
na ngumi zako za kila siku Musa
taabu…
taabu…
taabu

kweli Musa,
uliponioa
sura yangu,
haikuwa na alama
hata moja

nilikuwa na afya nzuri
nilinona
kama ngoima
ya Kirige

kweli Musa,
uliponioa
sura yangu,
haikuwa na alama
hata moja

nilikuwa na afya nzuri
nilinona
kama ngoima
ya Kirige

oye, oye, tafadhali Musa
tafuta bibi atakayeweza
kuvumilia hizo tabia zako
ukinywa pombe wamnywia yeye
ukinywa munyeke wamnywia yeye
pole…
pole…
pole.

You cannot copy content of this page