Daddy Owen ft. Kambua, Wahome, Kosgei, Kotira, Mapenzi, Nanjie – Saluti Lyrics

Eh he, this is Dadddy Owen once again,
Tunasaluti Yesu Kristo generali mwenyewe
Kambua yuko ndani(Karibu ndani), Mapenzi yuko ndani
Na nandi yuko ndani, Kosgei wahome na kotira (wote)

Nasimama, na kupiga saluti, ninasema, Yesu jemedari
Nasimama, na kupiga saluti, ninasema, Yesu ni commander

Kambua (Singing in Akamba):
Neongama mbe waku Mosumbe, ngeyasya nguma nesyaku
Kola Yesu numetyano huwe, Bala Yesu ne bikitano huwe

Esther Wahome (singing in Gikuyu)
Twaiga neitware kunene nene Ngai, na maundu maku no manene Jesu
Harya utu tetane hanene Ngai, we munene we munene we munene (we munene)

Nasimama, na kupiga saluti, ninasema, Yesu jemedari
Nasimama, na kupiga saluti, ninasema, Yesu ni commander

Emmy Kosgei (singing in Kalenjin)
Ng’o ne u inye kitoror inyegei iyo Baba,Ne ko i kim ne o kalosunot ategisin
Ategisin inye, inye Baba, Ategisin ayo, ayoyoyo

Jacky Kotira (singing in Dholuo)
Chakre cheng’ mokwongo, mana romokodi, Kona miseti mona muno chunya
Saluti ya kakoni byel nya kamyel ni, Yesu Jemedari na ndoking’eyo ka kaheri

Nasimama, na kupiga saluti, ninasema, Yesu jemedari
Nasimama, na kupiga saluti, ninasema, Yesu ni commander
Nasimama, na kupiga saluti, ninasema, Yesu jemedari
Nasimama, na kupiga saluti, ninasema, Yesu ni commander

Marsha Mapenzi (singing in Mijikenda)
Yesu ndiwe, ndiwe mubomoaye, Utanivirira usikosi sina mongine
Ukinilola andanipata he, Utanitaka hiza mulato wa jesu

Carol Nanjie (singing in Abaluhya)
Wele weli ukya, Ee Hufyuma hwesyaya
Ee wewe mukhulu ee mwisabha, ulo kamaya wele hakabha
Omwami wa Baba mi e mwisaya Jemedari yee

Piga saluti o, piga saluti eh ay (x8)

Nasimama, na kupiga saluti, ninasema, Yesu jemedari
Nasimama, na kupiga saluti, ninasema, Yesu ni commander

You cannot copy content of this page