Daddy Owen feat Dunco – Dasta Lyrics

Daddy Owen feat Dunco – Dasta Lyrics

CHORUS LYRICS:
Tunazipiga dasta maneno zao
tunazipiga dasta maneno zao
tunazipiga dasta fikira zao
tunaziga dasta...
tunazipiga dasta maneno zao
tunazipiga dasta fitina zao
tunazipiga dasta fikira zao
tunaziga dasta...

VERSE 1 LYRICS:
Nikinyamaza wanamisemo
nikingea wananichonga
nikituliza wana mikwazo
na nikilala waniamsha
lakini sasa mimi nimechoka sana
kusikiza zao, nimeamua kupiga dasta

CHORUS LYRICS:
oweeo, niakusifu ata waseme nini
oweeo, sibanduki ata wafanye nini
oweeo, nitakufwata na nitapata nyingi
oweeo, nipe dasta tumalize hii kazi

VERSE 2 LYRICS:
Tumezipiga dasta maneno zao
tumezipiga dasta fitina zao
tumezipiga dasta fikira zao
tumezipiga dasta, tumezipiga dasta dasta...
tumezipiga dasta dasta...

Niacheni mimi
nihubiri mimi, niacheni mimi

You cannot copy content of this page